Loading...
Advertisement

TAZAMA MAJINA YOTE YA WAAJIRIWA WAPYA WA UALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI JULY 2018

TAZAMA MAJINA YOTE YA WAAJIRIWA WAPYA WA UALIMU KWA SHULE ZA MSINGI NA SEKONDARI  JULY 2018

Bofya katika vitufe hapo chini kitazama majina yote 4840 walio ajiriwa mwezi July
2018 pamoja na vituo vya kazi pamoja na barua ya maelekezo kwao kutoka OR-TAMISEMI
Kwa barua ya maelekezo; BOFYA HAPA
Kwa majina ya waajiriwa; BOFYA HAPA

TAZAMA LIST YA WAAJIRIWA WAPYA WA AFYA NA VITUO VYAO VYA KAZI KUTOKA TAMISEMI

TAZAMA LIST YA WAAJIRIWA WAPYA WA AFYA NA VITUO VYAO VYA KAZI KUTOKA TAMISEMI

Bofya katika kitufe hapo chini kutazama majina yote 6180 ya waajiriwa wa afya wa
vyeo mbalimbali na vituo vyao vya kazi

 BOFYA HAPA 


UGONJWA MPYA HATARI WENYE KUFANANA NA UKIMWI WAGUNDULIKA UKIENEA KWA KASI

UGONJWA MPYA HATARI WENYE KUFANANA NA UKIMWI WAGUNDULIKA UKIENEA KWA KASI

Mycoplasma : New STD sexual transmitted disease same as HIV appear in England.
It has no cure transmited through unsafe sex.
           MYCOPLASMA
Ugonjwa huu uliogundulika Uingereza una enea kwa kasi na bado umezua maswali mengi kwa wana sayansi na mengi kukosa majibu ikiwa ni pamoja na tiba

Umaenezwa na wanaume.
Ambapo kwa wanaume una athiri njia ya mkojo na kisababisha ugumba
Unaharibu kizazi kwa mwanamke
Si rahisi sana kwa mwanamke kumuambukiza mwanaume ingawa inapaswa kuchukua tahadhari ila mwaanaume alieathirika ni rahisi sana tu kuueneza kwa wanawake.
Dalili za ugonjwa huu nyingi zinaonekana kuwiana na zile za upungufu wa kinga (UKIMWI). Ingawa ugonjwa huu dalili zake kuu ni koo kukauka sana, kuumwa koo na kifua , homa na kichwa pamoja na kupata harara na vijipele vidogovidogo katika maeneo mbalimbali ya mwili.
Bado kuna mengi yaliyojificha kuhusu ugonjwa huu hivyo blog yako pendwa Yanayojir.blogspot.com itakua iki ikikuletea na kukumegea kidogo kidogo kuhusiana na gonjwa hili hatari
Chukua tahadhari kwa kuepuka ngono zembe
Chukua tahadhari kwa kutumia kinga.

MBARONI KWA KUMUUA MGANGA WAKIJARIBU DAWA ZA KUZUIA RISASI

MBARONI KWA KUMUUA MGANGA WAKIJARIBU DAWA ZA KUZUIA RISASI

Kijana akamatwa kwa kumuua mganga wa kienyeji wakijaribu dawa ya kuzuia risasi. Raia mmoja wa nchini Nigeria ajulikanaye kwa jina la Chukwudi Ijezie amekamatwa na jeshi la polisi kwa kumuua mganga wa
kienyeji katika kijiji  kimoja nchini humo kwa kutumia bunduki.
Kijana huyo alijikuta katika hatima hiyo ya mauji pasipo kukusudia baada ya kuambiwa  na mganga huyo kwamba ana dawa yenye uwezo wa kuzuia risasi na kumtengenezea kijana huyo dawa hiyo na kisha kumuambia aifunge shingoni na baada ya kijana huyo Chukwudi kuonyesha kutokumuamini ndipo mganga huyo alipomkabizi bunduki hiyo na kisha kuvaa dawa ile shingoni mwake kumwambia ajaribu kumpiga bunduki hiyo ili aone uwezo wa dawa hiyo. Naye alipofanya alichoagizwa na mganga huyo basi matokeo yaka yakawa  kinyume na matarajio yao.

Mganga huyo aliyefahamika kwa jina Chinaka Adoezuwe mwenye umri wa miaka 26 ndipo alianguka chini na kuanza kutapatapa kisha kufariki wakati akikimbizwa hospitali kwa msaada wa matibabu.
Hata hivyo wakazi wa maeneo hayo wamedai kuwa wapo waganga kadhaa katika maeneo yao wanaojitapa na kutengeneza dawa zinazodhibiti kupatwa na risasi unapopigwa, na kudai kwamba watu kutoka maeneo ya mbali huja kwa ajili ya  dawa hizo

CHRISS BROWN KUNUNUA GARI LENYE THAMANI YA ZAIDI YA KIVITA

CHRISS BROWN KUNUNUA GARI LENYE THAMANI YA ZAIDI YA KIVITA

Msanii wa muziki wa nchini Marekani Christopher Maurice Brown akijulikana kwa jina la kisanii kama Chriss Brown au Brizzy kama wengi wa wafuasi wake wapendavyo kumuita 

ametoa kihoja baada ya kununua gari aina ya REZVANI TANK  ambayo ni gari inayolinganishwa na zaidi ya  gari ya kivita.
Gari hiyo yenye thamani ya dollar $$350,000/= ambayo ni sawa ba  Tsh. 875 milioni za kitanzania.


Gari hiyo sifa yake kubwa ya kwanza ina sifa ya kuwa bulletproof yaani uwezo wa kuzuia kuingia kwa risasi katika vioo na bodi yake, ina uwezo wa kutembea gizani bila ya taa huku ikikuonyesha mazingira ya nje kwa kutumia thermovision sensor camera katika taa zake na video ndogo iliyo ndani ya gari hilo,
Ina shoti katika milango yake ambayo huweza kuitumia kumzua adui kutokusogelea wala kugusa gari hilo
Na pia inauwezo wa kutoa moshi mwingi kutanda gari hilo na kumzuia mshambuliaji au adui kutokuliona vizuri gari hilo

Aidha msanii huyo anechukua maamuzi hayo baada ya visa kadhaa vya mashambulizi na mauaji ya kutumia silaha
kwa wasanii wakiwa katika magari yao  ikiwemo ni pamoja na mauji ya hivi majuzi ya msanii XXXtenction. Baada ya kuvamiwa na kupigwa risasi akiwa katika gari lake.

KILO 700 ZA MADAWA YA KULEVYA ZAKAMATWA NCHINI ALGERIA

KILO 700 ZA MADAWA YA KULEVYA ZAKAMATWA NCHINI ALGERIA

Algeria yakamata kilo 700 za unga(dawa za kulevya) aina ya Heroin siku ya jumanne .
Mzigo huwo wa dawa za kulevya wenye thamani ya dollar zipatazo 1,768,900 sawa na shilingi za kitanzania Tsh.4,422,250,000 ulikamatwa katika meli ya mizitgo kutoka taifa moja la Amerika kusini zilizokuwa katika meli ya nyama kwa kuwa taifa hilo huagiza nyama kutoka huko. Walio kamata ni maafisa forodha maafisa udhibiti wakishirikiana na polisi
Hata hivyo Algeria imeripoti lakini bado haijayangaza kuchukua hatua yoyote ile
Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top