[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>
Advertisement
Harmonizer afunguka; Diamond hana dharau
MKALI wa ngoma ya ‘Aiyola’ Rajabu Abdulkhali maarufu kama
Harmonizer amesema kuwa bosi wake Diamond Platnumz hana mashauzi na
dharau kama wengi wanavyomfikiria.

Akibonga na Swaggaz juzi jijini Dar es Salaam, Harmonizer
alisema kuwa tuhuma hizo zinatokana na namna nyota huyo wa wimbo wa Nana
anavyojiweka, lakini ni mtu poa sana ndiyo maana alikubali kumsaidia na
kumsimamia vyema kimuziki.
“Diamond angekuwa na dharau asingenisaidia kufika hapa nilipo, ni mtu
poa sana, anapenda kumsikiliza kila mtu lakini labda mwonekano wake kwa
jamii ndiyo unafanya wengi wafikiri labda ana mashauzi,” alisema.
Harmonizer ni msanii wa kwanza kutoka kwenye Lebo ya Wasafi Classic
Baby (WCB) inayomilikiwa na Diamond Platnumz, mshindi wa tuzo tatu za
AFRIMMA mwaka huu.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>Advertisement
KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>
Advertisement
Saturday, October 17, 2015
Post a Comment