Loading...
Home »
Unlabelled »
HIVI NDIVYO TANZANIA ILIVYOWEZA KUPIGWA BAO KIAKILI NA JIRANI ZAO KENYA
Advertisement
[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>
Advertisement
HIVI NDIVYO TANZANIA ILIVYOWEZA KUPIGWA BAO KIAKILI NA JIRANI ZAO KENYA SEHEMU YA 1
KATIKA PITAPITA ZAKE MTANDAONI YANAYOJIRI IKAKUTANA NA MAKALA HII ILIYOGUSA HISIA ZA WENGI FUATILIA.....
Tofauti kati ya wakenya na Watanzania
Wakenya wanacheza smart games na Watanzania bado tumelala....
After Precision Airlines (PA) kuwa threat kwa operation za Kenya
Airways (KQ) route za Tanzania na Kenya, KQ wakaingia ubia na PA very
smartly na wakawa wanaihujumu undercover. Leo hii PA iko hoi na tayari
Operations za Jomo Kenyatta-KIA, Jomo Kenyatta-Mwl. Nyerere zimerudi kwa
KQ...

Pili, baada ya TBL kuruhusiwa kuuza bia Kenya, na Kenya
walete bia zao Tanzania. TBL wakakaribia kuuwa bia za Wakenya huko kwao
wakati huo bia yao TUSKER ikawa haifanyi vizuri hapa Tanzania. Wakavunja
makubaliano, ili kila mtu afanye biashara yake kwake. After years EABL
ya Kenya ikaingia ubia na SBL na wakaipa License ya kuzalisha na
kusambaza TUSKER hapa nchini.. Smartly EABL wanauza hapa kwetu wakati
sisi TBL haiuzi kule kwao..
Wakati hayo yote yanafanyika Watanzania tunalazwa na fikra za kijinga za viongozi wetu wa CCM.. Education Matters alot
2004 Tanzania tulikuwa na Ndege mbili za serikali (Air Tanzania) na Kenya walikuwa na Ndege 19 (Kenya Airways-KQ)..
2015 Tanzania tuna Ndege 1 ya kukodi kwa ajili ya kupigia Kampeni za
Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Kenya wana Ndege 47 zinazotua katika
viwanja 62 vya mabara yote duniani...
Tukumbuke bila kuwa na Shirika letu la Ndege Utalii tunaongelea ni kazi bure..

Kenya taratibu inautawala Uchumi wa Tanzania, tayari wana Bank mbili
zinazofanya kazi nchini (KCB and Equity Bank), Tanzania bado hatuna Bank
yeyote Kenya.
Supermarkets za Kenya tayari zimeingia nchini na
kuuwa zetu (Nakumat tayari imeshainunua Shoprite (T), UCHUMI
Supermarkets).. Sisi Imalaseko Supermarkets zilishakufa kule Kenya.
Soko la Hisa Dar Es Salaam (DSE) lina Jumla ya Kampuni 21, kati ya hizo
Kampuni 7 ni za Kikenya lakini Soko la Hisa la Nairobi (NSE) lina zaidi
ya Kampuni 64 na hakuna kampuni hata moja ya Kitanzania.. Hii ni mbaya
sana kiuchumi..
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>Advertisement
KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>
Advertisement
Wednesday, July 6, 2016
Post a Comment