Loading...
Advertisement

ITV NA CLOUDS MEDIA KUPIGWA FAINI YA SH 19MILIONI NA TCRA KUFAHAMU ZAIDI FUATILIA

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement

ITV NA CLOUDS MEDIA KUPIGWA FAINI YA SH 19MILIONI NA TCRA 

Image result for pesa TCRA fainiImage result for clouds mediaKamati ya maudhui ya mamlaka ya mawasiliano Tanzania TCRA imevitoza faini vituo hivyo viwili vya matangazo kwa jumla ya pesa za kitanzania shilingi 19 milioni kwa makosa tofauti tofauti.  

Image result for TCRA

Image result for clouds tvTelevisheni ya Clouds imeonywa na kutozwa Sh4 milioni kwa kuonyesha picha za wanawake walio nusu uchi huku ikiitoza Redio Clouds Sh5 milioni kwa kukiuka kanuni za utangazaji  na  kuitoza ITV Sh10 milioni kwa kurusha kipindi kilichomkariri mbunge akimkashifu naibu spika. 

Image result for itv tanzania

Makamu mwenyekiti wa kamati hiyo bw. Joseph Mapunda alisema mnamo Mei 22 Clouds Television katika kipindi chake cha HIPHOP ilirusha wimbo wa msanii MwanaFA ambao ulikua ukionyesha wanawake wakiwa nusu uchi na katika muda usiofaa na pia kurusha wimbo wa mwanmuziki wa nje Lil Bebbie-Break it down unaoonyesha wanawake wakiogelea wakiwa nusu uchi katika muda ambao watazamaji wengi ni watoto jambo lisilofaa kulingana na maadili.

PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top