Loading...
Advertisement

SHAMBULIZI LA KIGAIDI KATIKA MAKAZI YA RAIS SOMALIA LAUWA WATU 20

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement

SHAMBULIZI LA KIGAIDI KATIKA MAKAZI YA RAIS SOMALIA LAUWA WATU 20 

 

 Bomu hilo lililotegwa kwenye gari lililipuka katika makao ya rais wa Somalia kwenye mji mkuu wa Mogadishu na kuua takriban watu 20 na kuwajeruhi wengine zaidi ya 30 siku ya Jumanne. Hayo ni kulingana na maafisa wa usalama nchini Somalia.

Image result for bomu somalia Mlinzi mmoja wa rais wa Somalia ambaye hakutaka jina lake litajwe, amesema kuwa mtu aliyekuwa anaendesha gari kwa kasi alianza kufyatua risasi na ikabidi walinzi kumfyatulia risasi pia. Hatimaye dereva huyo alisimamisha gari lake na kulipua bomu lililokuwemo.

Image result for bomu somalia
 MBUNGE ABDALLA BOSS AMBAYE NAYE NI MAJERUHI

Gari hilo liligonga ukuta wa hoteli iiitwayo SYL iliyo karibu na uwannja wa makao ya rais, Villa Somalia. Baadhi ya waliojeruhiwa ni pamoja na mawaziri wawili wa serikali ya Somalia, wabunge wawili na waandishi wawili wa habari, ambao wote walikuwa kwenye hoteli hiyo wakati mlipuko huo ulitokea. Wanamgambo wa Al-Shabaab mara kwa mara hushambulia mahoteli mjini Mogadishu, hususan kwa sababu ndiko maafisa wa serikali hufanya mikutano yao. Kundi hilo lilivamia hoteli hiyo ya SYL mwezi Februari na kuwaua takriban watu tisa.

PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top