Loading...
Advertisement

MCHEZAJI POGBA WA MAN-U AELEZA HAYA JUU YA KIWANGO CHAKE KATIKA LIGI

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement

MCHEZAJI POGBA WA MAN-U AELEZA HAYA JUU YA KIWANGO CHAKE KATIKA LIGI

Image result for paul pogbaMchezaji wa Manchester United ambaye pia ndiyo mchezaji ghali zaidi kwa sasa duniani, Paul Pogba amezungumza kuhusu uwezo wa soka ambao amekuwa akionyesha uwanjani kutokana na kuwa akitupiwa lawama kuwa kiwango chake kimeshuka.
Pogba alisema kumekuwa na watu wakosoaji ambao wamekuwa wakimzungumzia uwezo wake lakini yeye hajali na anadhani anahitaji muda ili kuzoea timu anayoitumikia ya Manchester United.
Image result for paul pogba
Image result for paul pogba goal“Nahitaji muda kidogo kuizoea Manchester, muda ambao mashine itaanza kufanya kazi nitakuwa nimezoea,” alisema Pogba wakati akizungumza na French TV na kuongeza.
“Watu wanapenda kuzungumza kuhusu Pogba, ni wakosoaji kila siku, ila mimi sijali, naweka muziki na kucheza”

PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top