Loading...
Advertisement

MAABARA ZAZIDI KUFANYA MAMBO

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement

FIGO ZA BINADAMU KUTENGENEZWA HUKO JAPAN SOMA USTAAJABU


  
Figo hizo bandia zilifanya kazi vyema katika nguruwe na panya.Madaktari hao watafiti wanasema kuwa wanyama hao waliopandikizwa figo hizo walitekeleza majukumu yao ya kawaida ya kibayolojia kama vile kupitisha mkojo kama wanyama wowote wale.
Hilo ndilo lililokuwa kikwazo kikubwa katika majaribio ya awali.
Watafiti hao kutoka Japan waliepuka matatizo ya awali yaliyolemaza majaribio kama haya kwa kukuza vimelea ndani ya figo hizo ilikuzuwezesha vifo hizo bandia kuchunga mkojo na kupitisha pasi na kulowa.
Japo majaribio kwa binadamu hayajaidhinishwa,bila shaka matokeo haya mapya yanatoa muamko mpya katika jitihada za kuunda viungo muhimu vya mwili katika maabara ilikusaidia wagonjwa .

Image result for HUMAN KIDNEY  
Image result for MADAKTARI WA NGURUWE NA PANYAMbinu hii bila shaka inatoa matumaini makubwa mno na wagonjwa wanaohitaji kutumia mashini kusafisha damu yaani ''dialysis''
Hata hivyo Viungo vya mwili vinavyoundwa kutokana na sehemu za seli shina za mwanadamu vinategemewa kusuluhisha uhaba wa viungo halisi vya kupandikiza kwa wagonjwa.
Daktari Takashi Yokoo na wenzake katika chuo kikuu cha utabibu cha Jikei kilichoko Tokyo walitumia mbinu hiyo kukuza figo hiyo bandia.
Image result for HUMAN KIDNEYAidha kikosi hicho kilifurahishwa na matokeo ya figo hiyo bandia zaidi ya wiki 8 baadaye walipowapima panya hao na hata wakajaribu mbinu hiyo ya kipekee kwa mnyama mkubwa zaidi yaani nguruwe ambayo matokeo yake pia yalikuwa sawa na yale ya kwanza.
Profesa Chris Mason, ambaye ni mtaalamu wa maswala ya seli shina na muhadhiri katika chuo kikuu cha London, amefurahishwa sana na matokeoa haya.
''Hili ni tukio la kutia moyo sana.''  
 Figo hizo bandia zilifanya kazi vyema katika nguruwe na panya.
''Hata hivyo hili halimaanishi kuwa mbinu hii ya kukuza viungo itafaulu kwa binadamu.'
''Aidha kukuzwa kwa figo kunasaidia kubaini jinsi mwili unavyoondoa uchafu mwilini na ukiangalia wagonjwa wanaolazimika
'kutumia mashini ilikusafisha damu ''dialysis''mbinu hii bila shaka inatoa matumaini makubwa mno''. alisema Profesa Mason.

Watafiti wengine tayari wanafikiria kuhusu mbinu ya kukuza figo,moyo na hata mapafu.
Professa Harald Ott na wenzake wameanza kujaribu mbinu mbadala inayokuza seli shina kutoka kwa viungo vya wazee na kukuza viungo changa.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top