Loading...
Advertisement

"KINGUNGE" Ukawa, asema CCM imeishiwa pumzi

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement

Kingunge aweka bayana kilichofanyika ndani ya CCM huko Dodoma

Mwanasiasa mkongwe na miongoni wa waasisi wa
Wagombea watatu bora wa urais kupitia CCM mwaka 2015
Mwanasiasa mkongwe nchini Tanzania bwana Kingunge Ngombale Mwiru alibainisha kwamba mchakato wa kumpata mgombea wa CCM katika uchaguzi mkuu ujao haukwenda vizuri huku kukiwa na ukiukwaji wa kanuni na taratibu za chama.
Kingunge Ngombale MwiruBwana kingunge ambaye alikuwa akimuunga mkono mmoja wa wagombea wa nafasi hiyo ya urais kupitia chama tawala cha CCM, Bwana Edward Lowassa aliwaambia waandishi wa habari jijini Dar Es Salaam hapo Jumatano kuwa  mchakato wa kupata wagombea unatakiwa kuanzia kamati kuu kama ilivyofanyika miaka ya nyuma na wagombea wote yaani  mmoja mmoja kupita kwenye kamati kuu na kupewa nafasi ya kujieleza jambo ambalo halikufanyika katika mchakato uliofanyika hivi karibuni mjini Dodoma ambapo kamati kuu ilipokea tu majina matano kutoka kamati ya maadili ambayo haina madaraka hayo.
            
                                                               Wagombea watatu bora wa urais kupitia CCM mwaka 2015
Kingunge Ngombale Mwiru
Wagombea watatu bora wa urais kupitia CCM mwaka 2015Aidha alisema ukiukwaji huo wa utaratibu wa kawaida wa kumpata mgombea katika chama cha CCM unaweza kutafsiriwa  kwamba kulikuwa kuna kikundi cha watu chenye maslahi binafsi ya kumpata mgombea waliyempanga na kutaka kamati kuu ipokee hivyo hivyo jambo ambalo ni dharau kwa wagombea wote waliojitokeza na ni dharau kwa chama pia.

 
Hata hivyo alionyesha dhamira ya kutaka chama kifanye utaratibu wa kupata maridhiano na makundi ambayo hayakuridhika na mchakato huo ili kujenga umoja ndani ya chama na kupata ushindi katika uchaguzi mkuu ujao kutokana na ukweli kwamba bwana Lowassa bado anaungwa mkono na mamilioni ya watanzania.

Alipoulizwa juu ya uvumi kwamba anafikiria kujiondoa ndani ya chama cha CCM bwana Kingunge hakutaka kuweka bayana azma hiyo licha ya kusema kwamba wakati ukifika yeye binafisi kama anataka kuhama chama atatoa taarifa.
John Magufuli
John MagufuliKatika mchakato huo uliofanyika mjini Dodoma siku chache zilizopita Dr.John Pombe Magufuli alichaguliwa kubeba bendera ya Chama Cha Mapinduzi-CCM katika uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba mwaka huu.

 

PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top