Loading...
Advertisement

LOWASA KUKATAZWA KUINGIA KATIKA JUMBA LA KUTANGAZIA MATOKEO

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement

YANAYOJIRI KATIKA SIASA LEO

MATUKIO MBALIMBALI YA UCHAGUZI NCHINI TANZANI;
LOWASA KUKATAZWA KUINGIA KATIKA JUMBA LA KUTANGAZIA MATOKEO
Image result for tume ya taifa ya uchaguzi Tume ya Taifa ya Uchaguzi yatangaza kwamba matokeo ya majimbo matano yaliyosalia yatatangazwa leo jioni. Mshindiwa uchaguzi wa urais atakabidhiwa cheti kesho.
 Tume ya Taifa ya Uchaguzi yatangaza matokeo ya urais ya majimbo 34.
Image result for LOWASSAMgombea wa CHADEMA Edward Lowassa akatazwa kuingia katika jumba la matokeo ya uchaguzi ili kutoa pingamizi yake ya matokeo hayo.



Ubalozi wa Uingereza nchini Tanzania pamoja na Ireland Kaskazini umetoa taarifa ukipinga kufutiliwa mbali kwa matokeo ya Uchaguzi kisiwani Zanzibar.
Ubalozi huo umesema kuwa hauoni sababu za kufutiliwa mbali kwa matokeo hayo ilhali waangalizi walifurahishwa na vile uchaguzi huo ulivyofanyika kwa amani.
Wameitaka tume ya uchaguzi Kiswani Zanzibar kuorodhesha matokeo hayo bila kuchelewa.

 Mgombea wa urais wa chama cha CHADEMA anayeungwa mkono na UKAWA Edward Lowassa wameelekea katika makao ya tume ya uchaguzi NEC kuwasilisha pingamizi yao kuhusu matokeo ya uchaguzi mkuu Tanzania. Baada ya kutoka huko wataelekea katika makao makuu ya UKAWA kuvihutubia vyombo vya habari.


Maeneo ambayo matokeo yao yametangazwa na yale ambayo bado hayajatangazwa nchini Tanzania

Kufikia sasa mgombea wa urais kupitia tiketi ya chama cha CCM John Pombe Magufuli anaendelea kuongoza katika kura zilizohesabiwa.


Rais mpya wa Tanzania kujulikana leo
Tume ya uchaguzi nchini Tanzania hii leo inatarajiwa kumtangaza rais mpya wa taifa hilo hii leo.Hatua hii inajiri siku moja tu baada ya Upinzani kupinga matokeo ya uchaguzi huo kwa madai kwamba kulikuwa na udanganyifu mkubwa. Tayari tume ya uchaguzi Kisiwani Zanzibar imefutilia matokeo ya uchaguzi kisiwani humo.


 Yalio maagazetini nchini Tanzania.

Image result for LOWASSAMarekani imelaani hatua ya tume ya uchaguzi ya Zanzibar ZEC ya kufuta matokeo ya uchaguzi wa urais pamoja na wajumbe wa bunge la wawakilishi visiwani humo.

Makamishna wa tume ya uchaguzi kisiwani Zanzibar wameushtumu uamuzi wa mwenyekiti wao Jecha Salum Jecha kwa kufutilia mbali matokeo ya uchaguzi wa kisiwa hicho bila ya kuwashauri

Tume ya uchaguzi kisiwani Zanzibar inajiandaa kutangaza tarehe mpya ya marudio ya uchaguzi huo.

Kisiwani Zanzibar
Kisiwani Zanzibar hali ni shwari. Ni asubuhi njema.
Matokeo ya uchaguzi wa urais nchini Tanzania yanaendelea kutolewa huku BBC ikiendelea kukufahamisha kuhusu matukio tofauti nchini humo. Tume ya Taifa ya Uchaguzi imetangaza matokeo ya majimbo takriban 187 na matokeo zaidi yanatarajiwa leo. PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top