Loading...
Advertisement

GEORGE MASAJU KUWA MWANASHERIA MKUU

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement
Saa chache baada ya kuapishwa rasmi kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Magufuli ameanza kazi kwa kasi zaidi ambap leo hii ameanza kazi kwa kumteua mwanasharia mkuu na kuitisha bunge.
Akizungumza na waandishi wa Habari kwa niaba ya serikali katika viwanja vya Ikulu Jijijini Dar es salaam katibu mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue amesema kuwa Rais Magufuli amaenza kazi leo hii kwa kumteua mwanasheria mkuu wa serikali ambaye ni George Mcheche Masaju aliyewahi kushikilia nyadhifa hiyo, katika serikali ya awamu ya nne chini ya uongozi wa rais mstaafu Dkt Jakaya Mrisho Kikwete.
Image result for George Mcheche MasajuMwanasheria huyo mteule anatarajia kuapishwa kesho saa nne asubuhi na kuhudhuriwa na viongozi mbalimbali
Aidha Balozi sefue ameeleza kuwa Rais Magufuli ameitisha Bunge la 11 ambalo litafunguliwa rasmi tarehe 17/11/2015 nakuongeza kuwa huenda mpaka kufikia tarehe 19 mwezi huu Rais atakuwa amependekeza jina la Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa serikali ya awamu ya tano na kusubiri ridhaa ya wabunge.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top