Loading...
Advertisement

WALIOPIGA PICHA NDEGE KENYA MATATANI

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement

Waingereza waliopiga picha ndege Kenya mashakani

 
Wapigaji picha wakichukua nambari za usajili za ndege
Raia wanne wa Uingereza waliokuwa wakipiga picha ndege nchini Kenya wameamrishwa kulipa faini ya pauni 1,400 ama wahudumie kifungo jela kwa kuchukua picha hizo katika uwanja wa ndege jijini Nairobi kinyume cha sheria.
Image result for kenya airwaysWanne hao kutoka Manchester nchini Uingereza walipatikana wakichukua picha hizo katika uwanja wa Wilson jijini Nairobi na wamekuwa wakizuiliwa kwa zaidi ya juma moja.
Image result for kenya airwaysWanaendelea kuzuiliwa na polisi hadi faini hiyo itakapolipwa.
Watu hao wanasema kuwa maafisa katika uwanja huo wa ndege waliwapatia ruhusa kufanya hivyo.
Lakini walizua tatizo la kiusalama walipopatikana katika baa ya uwanja huo wa ndege.
Baadaye walikiri mashtaka mawili ya kuingia na kupiga picha ndege bila ruhusa shtaka lililo na faini ya pauni 700 kila mmoja wao. PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top