Loading...
Advertisement

IRAN KUNUNUA NDEGE 100 KUTOKA MAREKANI

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement
Image result for airbus

Iran kununua ndege 100 kutoka Marekani

TEHRAN, IRAN

MAMLAKA ya Usafiri wa Ndege nchini Iran zimetangaza kuwa itanunua ndege 100 kutoka kampuni ya uundaji ndege ya Boeing, nchini Marekani.

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya serikali ya Iran, kwa sasa pande hizo mbili zinasubiri idhini kutoka Hazina ya Marekani.

Aidha Januari mwaka huu, Iran ilifikia makubaliano na Marekani kununua zaidi ya ndege 100 kutoka kampuni ya uundaji wa ndege barani Ulaya ya Airbus.

Image result for airbus

Makubaliano ya sasa yanathibitisha taarifa iliyotolewa Juni 6 mwaka huu na Shirika la Habari la Uingereza (Reuters) kuwa Iran ipo njiani kufikia makubaliano ya kihistoria ya kununua ndege kutoka kampuni ya Marekani.

Ununuzi huo kutoka Marekani utakuwa wa kwanza tangu mapinduzi ya Kiislamu ya taifa hilo mwaka 1979.

Image result for boeing

Idhini ya Marekani kwa Boeing kuanzisha mazungumzo ya kibiashara na Tehran Februari mwaka huu ilitokana na kuondolewa japo kwa kiasi kidogo kwa vikwazo vya kiuchumi, baada ya makubaliano ya kupunguza mpango wake wa nyuklia.

Image result for boeingIran inajikakamua kununua ndege mpya za kibiashara, kuchukua mahala pa ndege zake zilizozeeka ili kupanua sekta yake ya uchukuzi wa anga.

PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top