[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>
Advertisement
MAANDAMANO YA UKUTA KUSITISHWA KWA MWEZI MMOJA MAAGIZO YALIYOTOLEWA
Viongozi wa upinzani, wakiwemo Freeman Mbowe na Edward Lowassa wa Chadema, wametangaza hatua hiyo kwenye kikao na wanahabari Dar es Salaam. Wamesema
wameahirisha maandamano hayo kwa kipindi cha mwezi mmoja baada ya
kusikia ombi la viongozi wa kidini na wadau wengine waliowaomba
kukumbatia na kuyapa muda mazungumzo.
Viongozi
wa chama hicho walikuwa wameitisha maandamano na mikutano ya kisiasa
Septemba Mosi kupinga walichosema kuwa ni ukandamizaji unaoendelezwa na
serikali.Baada
ya mkutano wa kikao cha Kamati Kuu ya chama Chama cha Demokrasia na
Maendeleo (Chadema) mwishoni mwa Julai, viongozi walisema: “Yapo Matukio
ambayo yamekua yakifanywa na kukandamiza demokrasia na misingi
ikipuuzwa na kudharauliwa.”
“Si
nia ya Chadema kugombana na Serikali bali ni kazi ya Chama Pinzani
kuisaidia Serikali iongoze kwa kufuata misingi ya Katiba,” chama hicho
kilisema.
Maandamano hayo yalipewa jina UKUTA (Umoja wa Kupambana na Udikteta Tanzania)Serikali
ilipiga marufuku mikutano yote ya kisiasa, ya hadhara na ya ukumbini ambapo baadhi ya viongozi wa upinzani walikamatwa na kuzuiliwa kwa muda
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>
Advertisement
Post a Comment