[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==>
Advertisement
BAADA YA KUMKOSA KWA MUDA MREFU DJ FETTY KUREJEA TENA CLOUDS FM KIVINGINE ZAIDI
Ilikuwa ni siku ya Jumanne ya September 15 mwaka wa 2015 ndio siku
ambayo nyoyo za wapenzi wa burudani na hasa wale wapenda kusikiliza
vituo vya redio ziliingiwa na huzuni flani hivi baada ya mwanadada
ambaye ame wa-inspire wadada wengi wanaofanya kazi ya utangazaji kwa
sasa Dj Fetty kutangaza rasmi kuwa anaachana na kazi hiyo na kuendelea na biashara ya nguo katika duka lake liitwalo Fettylicios street look.
Akipiga story na Perfect255 Dj Fetty amesema kwamba endapo akirejea
katika Clouds Media Group basi hatoweza kurudi katika kipindi cha XXL na
badala yake ataenda kujiunga na kinaGadner G Habash, Ephraim Kibonde naGeorge Bantu katika kipindi cha Jahazi ambapo Gadner G Habash amelithibitisha hilo na kuahidi kwamba atahakikisha Dj fetty ndio anakuwa mtangazaji wa kwanza kulipwa mkwanja mrefu zaidi ya wote Tanzania.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>Advertisement
KAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=>
Advertisement
Friday, September 2, 2016
Post a Comment