Loading...
Advertisement

Polisi wamshikilia raia wa Israel kwa kuuza viungo vya binadamu

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement

Polisi wamshikilia raia wa Israel kwa kuuza viungo vya binadamu


Polisi wamemshikilia raia wa nchini Israel kwa tuhuma za kufanya biashara za viungo vya binadamu nchini Cyprus.

Jamaa huyo anayetambulika kwa jina la Harel anatuhumiwa kwa kufanya biashara hiyo kwa
kuchukua figo za watu tofautitofauti katika mataifa mbalimbali duniani na kisha kuziuza kwa matajiri nchini Israel bila kuwalipa hata senti walio muuzia figo hizo. Polisi imemkamata na kusema inataraji kumfikisha katika mikono ya kisheria mnamo jumanne ili aweze kusomewa mashtaka yake.

PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top