Loading...
Advertisement

BASI LAGONGANA NA TRENI KIGOMA

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement

BASI LAGONGANA NA TRENI KIGOMA

Ajali mbaya sana inayohusisha basi la abiria na treni ya mizigo imetokea eneo la Gungu mkoani Kigoma ambapo watu kadhaa wamefariki nawengine kujeruhiwa. 

CHANZO CHA AJALI 

Chanzo cha ajali hiyo kinasemekana ni kukosa umakini kwa dereva wa gari hilo ambaye naye pia amefariki ambapo
alikatiza katika eneo la makutano ya barabara na reli bila kuchukua tahadhari licha ya kupigiwa honi na mwongozaji wa treni hiyo ili aweze kuvuka kwa haraka jambo lililopelekea gari hilo kugongwa na kuburuzwa kwa umbali upatao mita 100

IDADI YA MAJERUHI

Ajali ya Basi hilo lifanyalo safari zake kutoka Kigoma kuelekea Tabora wilayani Nzega imeweza
kupoteza maisha ya watu saba walioripotiwa kupatikana mpaka taarifa hii kutufikia na majeruhi ni 27 (ishirini na saba) wengi wakiwa na hali mbaya wakati harakati za uokoaji zaidi zikiendelea.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top