Loading...
Advertisement

BAADA YA MECHI YA MAHASIMU WAWILI WACHEZAJI WA REAL KUPEWA MAPUMZIKO

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement

BenzemaBAAADA YA KIPIGO KUTOKA KWA MAHASIMU WAO BENZEMAR KUTINGA ZOEZI PEKE YAKE


Benzema 3Mshambuliaji Karim Benzema jana Jumapili alitokea pekee kati ya wachezaji wa kikosi cha kwanza cha Madrid kufanya mazoezi baada ya kocha Rafael Benitez kuwapa ofa ya mapumziko wachezaji wa kikosi cha kwanza siku ya Jumapili kutokana na kipigo cha goli 4-0 kutokana kwa mahasimu wao Barcelona.

Karim Benzema aliamua pamoja na kupewa ofa ya kupumzika, kutokea mazoezini huku akifanya mazoezi na kikosi cha pili sanjari na baadhi ya wachezaji wakubwa kama Arbeloa.

Benzema 1Real Madrid ilipokea kipigo hicho kikubwa kutoka kwa Barcelona cha mabao 4-0 magoli yakifungwa na Luis Suarez (2), Neymar pamoja na Iniesta.
Image result for SUAREZ & NEYMARMechi hii ilikua ni ya kwanza ya El Classico kwa kocha Rafael Benitez huku akitakiwa kucheza michuano ya klabu bingwa Ulaya dhidi ya Shaktar Donestic Jumanne hii huku wachezaji wakianza mazoezi Jumatatu hii.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top