Kwa Mujibu Wa ' The Africa Report', Bilioni 183 Za Tiketi Za
Wateule Zingenunua Airbus Moja Kama Hiyo Pichani..Na Chenji Ingebaki...!
Kwa
takwimu alizotoa Mh. Rais Magufuli, kuwa shilingi bilioni 183
zimetumika kununulia tiketi za kusafiri nje, ina tafsiri ifuatayo kwa
mujibu wa jarida la ' Africa Report' toleo nr 74 la mwezi Oktoba na
ambalo nimelisoma. Lina taarifa, kwenye ukurasa
wa 56, kuwa Serikali ya Rais Kabila imenunua kutoka shirika la ndege
lililofilisika la Alitalia, nchini Italia, moja ya ndege zake aina ya
Airbus A320 kwa gharama ya dola za Marekani milioni 50. Fedha ambazo
wateule wetu wametumia kwa tiketi za safari za nje ni bilioni 183, sawa
na dola za Marekani takribani milioni 84..!
Naam, nimepata kuandika, kuwa Tanzania ina vyote bwanaa!!
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement


Post a Comment