Loading...
Advertisement

COKE STUDIO KUZUA GUMZO AFRICA MASHARIKI JUU YA WAWILI HAWA

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement
Image result for juliana & mr flavour

NI Juliana Kanyomozi wa Uganda na msanii mwenzie Mr Flavour wa Nigeria kunanii au ndio drama kama za kibongo

Image result for juliana & mr flavourNAIROBI, KENYA

NYOTA wa muziki nchini Uganda, Juliana Kanyomozi, ameonekana kunasa kwenye penzi la msanii wa Nigeria, Chinedu Okoli ‘Mr Flavour’, baada ya kukutana nchini Kenya katika maonyesho ya Coke Studio.

Image result for juliana & mr flavour

Wasanii hao wamekutana nchini humo kwa ajili ya muziki uliokutanisha wasanii mbalimbali kutoka Afrika, ambapo wanafanya muziki kwa kushirikiana, lakini ukaribu wa Mr Flavour na Juliana umewafanya mashabiki wao kudhani kuna lingine zaidi ya muziki baina yao.

Mitandao mbalimbali nchini humo inaeleza kwamba wawili hao baada ya kufanya kazi pamoja, Juliana alionekana akitumia muda mwingi akiwa karibu na msanii huyo na walionekana kuwa na ukaribu uliokuwa na uhuru wa kupitiliza.

Image result for juliana & mr flavourKupitia akaunti ya Instagram, Juliana aliweka ujumbe wa kumtakia Mr Flavour heri ya siku yake ya kuzaliwa ambapo aliandika: “Hongera kwa kusherehekea siku yako ya kuzaliwa, umekuwa msanii ambaye unanifanya nijisikie nipo juu kutokana na jinsi unavyonishauri, ninaamini tutaendelea kuwa pamoja, nakupenda sana.”

PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top