Loading...
Advertisement

HOFU YA UBAGUZI WA RANGI KUIBUKA UPYA MAREKANI

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement

NI SEKUNDE 6 BAADA YA KUSHUKA KATIKA GARI LAKE POLISI MZUNGU AMFYATULIA RISASI RAIA MWEUSI MPAKA KIFO

Image result for Laquan McDonaldHofu ya kutibuka kwa mzozo wa ubaguzi wa rangi umetanda mjini Chicago Marekani baada ya idara ya polisi kufichua video moja inayoonesha mauaji ya tineja mmoja na askari mzungu.
Yamkini askari huyo alimfyatulia tineja huyo risasi 16 punde baada ya kumfumania akitoboa gurudumu la gari la polisi.

Updated 1706 GMT (0106 HKT) November 24, 2015

Chicago prepares for Laquan McDonald video release
graphics zinazoonyesha matundu ya risasi alizopigwa
Image result for Laquan McDonaldVideo hiyo inayotisha, inaonesha afisa huyo Jason Van Dyke akimpiga risasi Laquan McDonald, mwenye umri wa miaka 17.
Kiongozi wa mashtaka wa jimbo hilo Anita Alvarez anasema kuwa video hiyo inaonesha afisa huyo akishuka kutoka kwa gari lake na kumfyatua risasi kadhaa kwa mvulana huyo ambaye alikuwa anatembea kutoka kwenye eneo la tukio.
Image result for Laquan McDonald''Kwa hakika inahuzunisha kuona maisha ya tineja kama huyo akipoteza maisha yake kwa uovu kama huu'' alisema Alvarez.ila shaka watu wetu wa Chicago watakapoiona video hiyo watakasirishwa sana na kuendelea kwa matukio ya utumizi mbaya wa silaha dhidi ya watu weusi haswa kutoka kwa maafisa wa usalama wazungu.
Video hiyo iliyopigwa na kamera iliyokuwa imetundikwa kwa gari lingine la polisi inamuonesha kijana huyo McDonald akikimbia barabrani kisha alipowaona maafisa wa polisi Van Dyke na mwenzake akageuka mara moja akainua suruali yake kisha akaanza kutembea kwa kwasi kuondoka kwenye eneo la tukio.
Mara moja anavurumishwa juu na kuangushwa chini na milipuko ya risasi kadhaa.
McDonald anajaribu kuinua kichwa chake lakini risasi zaidi zinambana chini

Image result for Laquan McDonald Image result for Laquan McDonald

      Analala hapo chini akivuja damu na hakuna afisa anayekwenda kumsaidia kuokoa maisha yake.
Image result for Laquan McDonaldKiongozi wa mashtaka anasema kuwa Van Dyke alifyatua risasi sekunde 30 baada ya kuwasili katika eneo la tukio huku na sekunde 6 tu baada ya kushuka kutoka kwa gari lake.#
Bila shaka hakuchukua muda wake kupeleleza hali halisi katika eneo la tukio.
Hii ndio mara ya kwanza kwa afisa anayehudumu kufunguliwa mashtaka ya kuua akikusudia.
Image result for Laquan McDonaldJason Van Dyke anashtakiwa kwa mauaji ya kijana huyo mwenye umri wa miaka 17 Laquan McDolald mwezi Oktoba mwaka uliopita.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top