Loading...
Advertisement

ORODHA YA WALIO ONGOZA KWA UFUNGAJI EPL

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement
Image result for EPL

Majina 23 ya wanaoongoza kwa ufungaji mfululizo EPL, kabla ya Jamie Vardy kuvunja rekodi ya Van Nistelrooy Nov 28

Image result for EPL
Usiku wa November 28 mshambuliaji wa Leicester City  Jamie Richard Vardy aliingia katika headlines baada ya kutumia dakika 24 za mwanzo za mchezo kati ya Leicester City dhidi ya Man United kuvunja rekodi ya mshambuliaji wa zamani wa Man United muholanzi Ruud van Nistelrooy ya kuongoza ufungaji magoli mfululizo.

Jamie Richard Vardy


Ruud van Nistelrooy ambaye aliondoka Man United mwaka 2006 na kujiunga na Real Madrid ya Hispania aliweka rekodi ya ufungaji magoli 10 katika mechi 10 mfululizo, rekodi ambayo imedumu kwa miaka 12 na usiku wa November 28 ndio mshambuliaji raia wa Uingereza Jamie Richard Vardy aliivunja rekodi hiyo dakika ya 24 ya mchezo dhidi ya Man United.

Ruud van Nistelrooy
article-2559557-00A312AF00000259-873_634x503
Naomba nikusogezee list ya majina 23 ya wanasoka ambao wanaongoza kwa ufungaji magoli mfululizo katika Ligi Kuu Uingereza ila kwa sasa Jamie Richard Vardy ndio anaongoza kwa kuwa namba moja.
2DA265B500000578-3282467-image-a-10_1445444477816
List ya walio katika rekodi ya ufungaji magoli mfululizo Ligi Kuu Uingereza.

PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top