Loading...
Advertisement

PROFESA JAY MAHAKAMA KUU

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement

MH. JOSEPH HAULE MAARUFU PROFESA JAY KUFUMGULIWA KESI MAHAKAMA KUU

Mbunge wa Jimbo la Mikumi kwa tiketi ya Chadema, Joseph Haule maarufu kama Profesa Jay amefunguliwa Kesi Mahakama Kuu kupinga ushindi wake.
Kesi hiyo ya Uchaguzi imefunguliwa na aliyekuwa mgombea wa Jimbo hilo kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM), Jonas Nkya.
Nkya aliwaambia waandishi wa habari hivi karibuni kuwa amefungua Kesi hiyo akiiomba mahakama kubatilisha ushindi wa Profesa Jay kutokana na utata uliojitokeza wakati wa kutangaza matokeo.
“Uchaguzi huu utarudiwa, nadhani wote mliona utata uliojitokeza wakati wa kutangaza matokeo ya Jimbo la Mikumi, “Nkya alisema.
PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top