Loading...
Advertisement

ABIRIA WAKWAMA BANDARINI MANAHODHA NA MBAHARIA 13 WAKAMATWA

[1.5MB] download video ya LULU akiwa bafuni anaoga ==> Advertisement

ABIRIA WAKWAMA BANDARINI MANAHODHA NA MABAHARIA 13 WAKAMATWA

ABIRIA 101 waliokuwa wakisafiri kutoka Kisiwani Pemba kwenda Tanga kupitia Bandari ya Wete, wamekwama bandarini.

img_5879

Abiria hao wamekwama mahali hapo baada ya nahodha na mabaharia wa mashua waliyokuwa wakisafiria, kukamatwa.

Nahodha wa mashua hiyo,   Badili Tabia yenye namba za usajili, Z 158, ilikuwa ikiongozwa na nahodha, Daud Mkashari Mpemba.

Image result for wete pemba

Taarifa zilizopatikana zinasema   nahodha na mabaharia hao 13 walikamatwa kwa kuwa walikiuka agizo la Serikali la kuzuia mashua kusafirisha abiria.

Kwa mujibu wa taarifa hizo, agizo la kukamatwa nahodha na mabaharia hao lilitolewa na Mwenyekiti wa Kamati ya Ulinzi na Usalama, Wilaya ya Wete, Abeid Juma Ali baada ya kufanya ziara ya kushitukiza bandarani hapo na kukuta mashua hiyo ikiwa imepakia abiria.

Image result for mashua za pembaPamoja na kuzuia safari hiyo, Ali alisema abiria hao hawakuwa wameorodheshwa majina yao katika maeneo husika, jambo ambalo  lingeleta utata kama wangepata matatizo safarini.

“Uamuzi wa Serikali kuzuia mashua kusafirisha abira ni kulinda usalama wao kwa vile  vimesajiliwa kwa ajili ya kubeba mizigo.

PICHA CHAFU ZA WANAFUNZI WAKIFANYA UCHAFU ZAVUJA FACEBOOK SEE PHOTOS BELOW =>AdvertisementKAMA HUJAONAILE VIDEO CHAFU YA ZARI THE BOSS LADY ILIYOVUJA BOFYA HAPO CHINI=> Advertisement

Post a Comment

CodeNirvana
Newer Posts Older Posts
© Copyright Storykilo | Designed By Hisia za Mwananchi
Back To Top